bahman 22

IQNA

IQNA-Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesisitiza kuwa maadui, kupitia vitisho vya moja kwa moja vya kijeshi na maonyesho ya nguvu za manowari zao katika eneo, walilenga kuvunja azma ya wananchi wa Iran. Lengo lao lilikuwa kusababisha kupooza kwa uchambuzi wa kisiasa, kuvuruga mizani ya mahesabu ya kijamii miongoni mwa wananchi, na kuchochea hali ya kutoridhika.
Habari ID: 3481930    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/13

Rais Pezeshkian katika hotuba ya maandamano ya tarehe 22 Bahman:
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika maadhimisho ya Siku ya Allah ya tarehe 22 Bahman (Februari 11), amesema kuwa Iran haitaki kumiliki silaha za nyuklia, jambo ambalo imelitangaza wazi, na iko tayari kwa aina zote za uhakiki wa kimataifa. Ameongeza kuwa ukuta mkubwa wa kutokuaminiana uliowekwa na Marekani umezuia mazungumzo kufikia matokeo yenye maana.
Habari ID: 3481920    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/11

Mamilioni ya wananchi kutoka matabaka yote ya kijamii wamejitokeza mitaani kote nchini Iran kushiriki maandamano ya kitaifa yanayoashiria maadhimisho ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3481919    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/11

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa wito kwa taifa la Iran kuonyesha irada, azma thabiti na kusimama kidete, kwa kushiriki kwa wingi katika matembezi na mijumuiko ya kuadhimisha miaka 47 ya Mapinduzi ya Kiislamu, akisema kuwa umoja huo utamkatisha tamaa adui wa nchi hii.
Habari ID: 3481912    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/10

Ulimwengu wa Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, anasema wasomi wa Ulimwengu wa Kiislamu wanabeba dhima nzito kuhusiana na matukio yanayojiri huko Gaza na kwamba wanapaswa kuanzisha matakwa ya umma ya kukata uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3478310    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekutana na maelefu ya watu kutoka mji wa Tabriz na kusisitiza kuwa: "Ujumbe wa taifa katika matembezi ya Bahman 22 (11 Februari) ulikuwa ni istikama na kuunga mkono Mapinduzi kikamilifu"
Habari ID: 3476567    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/15

Alfajiri 10 za Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Iran wameanza sherehe za Alfajiri Kumi katika kona zote za nchi kwa ajili ya kuadhimisha miaka 44 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 nchini Iran ambayo yaliupindua utawala wa kitaghuti wa Kipahlavi uliokuwa unaungwa mkono kila upande na Marekani.
Habari ID: 3476499    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01

Kwa mnasaba wa maadhimisha ya mwaka wa 44 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezuru haram toharifu ya Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kumuenzi na kumsomea Faatiha kiongozi huyo mwenye adhama kubwa wa taifa la Iran.
Habari ID: 3476493    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31

Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapunduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mapema leo asubuhi amefanya ziara katika Haram toharifu ya Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu na maziara ya Mashahidi katika Makaburi ya Behesht Zahra SA kusini mwa Tehran.
Habari ID: 3474873    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/31